Wednesday, February 12, 2014

MKE WA OBAMA ASIMAMA KAMA MZAZI NA KUTOA USHAURI KWA WAZAZI WA JUSTINE, UNAJUA ALICHOKISEMA MICHELLE KUHUSU BIEBER, SOMA HAPA!!

Justin Bieber ni msanii ambaye amekuwa katika vichwa vingi vya habari miezi kadhaa ya karibuni, sio kwasababu ya kazi nzuri anayoifanya bali ni kutokana na vurugu na uvunjaji wa sheria wa kupita kiasi, kiasi kwamba hivi karibuni wananchi wa Marekani wamempigia kura (Deport Bieber Petition) ya kuiomba serikali imrudishe kwao sababu wamechoshwa na tabia zake.
Mke wa Rais wa Marekani Michelle Obama ametoa ushauri kwa wazazi wa msanii huyo, akijitolea mfano kama yeye ndio angekuwa mzazi wa Bieber (19), kwa kueleza kile ambacho angejaribu kufanya kumsaidia mwanaye katika kipindi hiki ambacho ameonekana kuwa na changamoto nyingi zinazoonekana kusababishwa na umri wake (foolish age).
First Lady amesema kama yeye angekuwa mzazi wa Bieber angejaribu kuwa naye karibu muda wote, na kuzungumza naye na kumshauri.
“Mimi ningekuwa karibu naye sana kwenye maisha yake katika kipindi hiki….kuongea naye, ili kujua nini kinaendelea katika kichwa chake, na kujua nani yuko katika maisha yake na nani hayuko.” Alisema Michelle katika mahojiano ya hivi karibuni na kituo cha Univision Radio.
Kuna uwezekano ushauri wa first lady ni siri ya mafanikio ya malezi bora wanayoyapata mabinti zake wawili Sasha na Malia, ambao pamoja kuwa ni watoto wa Rais wa taifa kubwa duniani lakini wanaonekana kuwa na nidhamu.
”[Kids] just want you near, you know — they want that advice from a parent. They want to see you on a daily basis, because the thing is he’s still a kid. He’s still growing up. So, I would pull him close.” Aliongeza Michelle.
Credit:Bongo5.com

Monday, February 10, 2014

HILI NDO BONGE LA SHOW TOKA KWA WEUSI WALIYO FANYA USIKU WA KUAMKIA LEO CLUB BILLICANAS...ANGALIA PICHA 25

JOH MAKINI AKIWA KWA STEJI

 MOJA KATI YA SHOW KALI ILIYO KONGA NYOYO ZA MASHABIKI TOKA MWANZO HADI MWISHO WA SHOW ILIDHIHIRISHA NI JINSI GANI WEUSI WANAJUA KUSHAMBULIA JUKWAA












DAMIAN AKIWA KWA STEJI

BEN PAUL NAYE KWA STEJI

G WARA WARA


NIKKI WA PILI NA G KWA STEJI




FUNDI SAMWELI

DAMIAN

Thursday, February 6, 2014

Je unajua madhara yanayo sababishwa kwa kunywa kinywaji cha RED BULL na hata kupelekea kifo ?? soma zaid makala hii uelimike



RED BULL Huuzwa katika maduka makubwa (Supermarkets) na madogo (Retail Shops) katika nchi ya Tanzania na watu wazima na watoto wetu wengi wana mazoea ya kunywa kinywaji hiki ambacho kinaweza kusababisha kifo! Kemikali zinazopatikana katika kinywaji cha RED BULL zilitengenezwa maalum katika maabara za kijeshi za Marekani kwa ajili ya kutuliza mzuka wa maaskari wao wakati wakitekeleza mauaji ya kikatili sana dhidi ya wananchi wa Vietnam miaka ya sitini na sabini.

Kemikali hizo zilitumika pia kama dawa ya kuwazindua watu waliozirai (“stress coma”).Hazikukusudiwa kutumiwa kama kinywaji au kilevi cha kawaida! Duniani kinywaji hiki (RED BULL) huuzwa kama kitu chakuleta msismko (Energizer Drink) na matangazo yake yanataja sifa zake kama ifwatavyo.

Ni kinywaji kinachompa mtu nguvu ya kustahimili na umakini. Humpa mtu kasi ya vitendo” ... na kadhalika.RED BULL imesambaa katika nchi 100 kwa mpigo (nchi masikini!). Na matangazo yake kuwalenga vijana na watoto, hasa wanamichezo. Hawa ni rahisi kushabikia kinywaji hiki kibaya na kudhurika kiafya baadaye.

Katika hali yake ya matumizi ya sasa kinywaji hiki kiligunduliwa na Mjerumani Dietrich Mateschitz ambaye alikikuta huko Hong Kong kikiwa ni mojawapo ya madawa yaliyotumika katika kutengeneza dawa ya mswaki wa meno.

Dawa hiyo ilitengenezwa kwa kemikali ambazo zina kafeni na taurini(“caffeine and “taurine). Mjerumani huyo aliona vijana wajinga wa huko wakishabikia unywaji wake akaona mwanya wa kufanya biashara na akafanikiwa kukileta ulaya.

ATHARI ZA KUNYWA RED BULL
Kinywaji kinachotengenezwa na kusambazwa leo hivi kina kemikali mbaya iitwayo “Glucuronolactone”, kemikali hatari ambayo ilitengenezwa na idara ya jeshi la Marekani wakati wa vita na Vietnam kwa ajili ya kutuliza mvurugiko wa mwazo wa maaskari wake uliotokana na mauaji ya kinyama waliokuwa wanafanya huko Vietnam.

Kwa sababu ya madhara makubwa ya kinywaji hiki nchi za FRANCE na DENMARK zimepiga marufuku kinywaji hiki na kibatiza jina la “MKOROGO WA UMAUTI”. Katika nchi hizi, utafiti uligundua kuwa maaskari wa Marekani waliotumia kinywaji chenye kemikali ya “GLUCURONOLACTONE” waliishia kupata madhara ya maumivu makali ya kichwa, uvimbe wa ubongo na hata ugonjwa wa ini (Migraines, Cerebral tumours and liver diseases). Ni kwa sababu hiyo wamarekani waliacha kuwapa maaskari wao hicho kinywaji katika miaka ya sitini na sabini.

Jambo la kushangaza ni kuwa lebo ya RED BULL inaonyesha wazi kuwa kinywaji hiki kimetengenezwa kwa kemikali hatari ya “GLUCURONOLACTONE”! Ni kwasababu hiyo serikali za Denmark na Ufaransa nazo zikapiga marufuku unywajiwa RED BULL.

Pamoja na wauzaji wa RED BULL kuweka bayana kuwa ndani mwake mna hiyo kemikali hatari, lebo ya RED BULL hailezi madhara makubwa yanayoletwa na kemikali hiyo. Madhara ambayo hayakuwekwa bayana kwa mnywaji ni kama yafuatayo:


Ni hatari kwa mtu ambaye hafanyi kazi au mazoezi mazito sana kukitumia kwani kina tabia ya kuongeza msukumo wa damu na kasi ya mapigo ya moyo kiasi kwamba mtumiaji anaweza kupatwa na ugonjwa wa moyo.
Mtumiaji anaweza kupatwa na ugonjwa wa damu kuvuja ubongoni kwani REDBULL ina kemikali zinazoifanya damu iwe nyembaba ili moyo upate kusukuma damu nyingi bila kutumia nguvu nyingi.
Ni hatari kuchanganya RED BULL na pombe ya aina yoyote kwani mchanganyiko wake huwa ni sumu (“Deadly Bomb”) inayoathiri musuli wa ini la mtumiaji na kuiacha katika hali ambayo haitapona kamwe.
RED BULL ina vitamini B12 kwa wingi, vitamini ambayo hutumiwa kama dawa ya kuwazindua wagonjwa mahututi. Matumizi ya vitamini hii katika watu wazima ina athari za kuleta shinikizo la damu na humfanya mtu ajisikie kama mlevi.
Unywaji wa RED BULL mara kwa mara huvuruga mfumo ya neva za fahamu na husababisha maradhi mithili ya mfadhaiko wa akili usioponyeka.HITIMISHO:
:RED BULL ni kinywaji HATARI SANA ambacho hapana budi kipigwe marufuku katika nchi zote zinazoendelea kwani ni dhahiri kimetengenezwa na kusambazwa ili kiathiri afya za wananchi wasiojiweza wa nchi hizi masikini. Kwa kuwa wengi katika nchi hizi hutumia pombe za kila aina ni wazi kuwa kinywaji hiki kina lenga kuwamaliza – kana kwamba ukimwi uliobuniwa na hao wabaya wetu hautoshi!

Chanzo JamiiForums.